GIFT KIPAPA

UTAMU WA KIPAPA

                                                 MUUZA MAZIWA SE 1 EP 1 - 7                

                                              

                                                  MUUZA MAZIWA SE 1 EP 1

                                        

KWA UFUPI:

Kitendo cha Jerry kuharakisha kazini na kupuuzia hisia za mke wake katika hali ya ubaridi ndio kosa lake pekee, ni kwa wakati huo ndipo  Lisa mke wa Jerry alipojikuta akivuta hisia za kufanya mapenzi na MUUZA MAZIWA ili walau atoe mshawasha uliokuwa umempanda  asubuhi hiyo iliyokuwa na mvua za rasharasha na kibaridi cha kupuliza., Kitendo chake cha kufanya mapenzi na MUUZA MAZIWA lilikuwa kosa lingne tena . Kwani Lisa anakutana na mimkuno  ambayo hakuwahi kukutana nayo hata siku moja katika maisha yake, mavituzi hayo yanamdumbukiza Lisa mzima mzima katika dimbwi zito la mapenzi ya MUUZA MAZIWA na kujikuta anasahau yote kuhusu mumewe(Jerry).
Ni nini hatma ya penzi hilo jipya  na la wizi lililoibuka ghafla kwenye moyo wa Lisa, na vipi kuhusu ndoa yake na Jerry itaweza kudumu kama tayari iimeshaanza kutafunwa na MUUZA MAZIWA?
Ungana na GIFT KIPAPA katika  chombezo hii ambayo haita kusisimua tu bali pia kujifunza kitu kilichojificha katika mahusiano ya kmapenzi.

SIMULIZI YENYEWE:

Mvua kubwa ilinesha usiku uliopita, ahsubuhi ya siku hiyo yalibaki manyunyu tu  na hali ya hewa ya kibaridi cha kupuliza, hali iliyowafanya wakazi wa jiji la da es salaam wabaki waking’ang’ania mashuka na kutamani siku hiyo iwe siku kuu ili shughuli za kimaendeleo zisifanyike na badala yake waendelee kuufaidi usingizi kama ilivyo kwa miisho ya wiki. Na wale waliolala na wenzi wao hali kwao ilikuwa mbaya zaidi walitamani waendelee kubaki kitandani ili waendelee kugalagala na kutomasana na wapenzi wao katika vitanda vyao.
“Kidogo tu mume wangu jamani”
No dear , nimechelewa sana , leo angalia saa mbili na robo!”
Yalisikika mabishano hayo katika nyumba moja ya kifahari maeneo ya kimara Stop over.
“jamani  mpenzi wangu si kidogo tu, mwezio nateseka.”
Aliongea  kwa sauti nyororo iliyolegea, msichana huyo mrembo aliyekuwa amevalia khanga moja iliyositili maungo yake. Alimwangalia mwanaume wake kwa macho malegevu yaliyolainika mithili ya mla kungu. Kisha taratibu akaupeleka mkono wake kifuani na kuitegua khanga aliyokuwa ameivaa. Khanga hiyo ilidondoka taratibu na kumuacha mwanamke huyo akiwa mtupu.
Mapaja yake laini yaliyo jaa jaa yalonekana sawia huku kiuno chake cha nyigu kilicho jaa shanga tupu kikizunguka taratibu na kuzifanya shanga zitikisika mithili ya wimbi la bahari mwanana pale upepo uvumapo.
Macho yalimtoka Jerry na mate yalimdondoka kwa hamu ya mahaba, japo alikuwa ni mkewe aliyemuona kila siku lakini siku hiyo alionekana mpya kwake,  pozi alilokuwa amesimama liyafanya maungo yake yaonekane yana mvuto kweli kweli, makalio yake yallitikisika taratibu alipokuwa akijizungusha, wacha kifua chake ambacho alikibenua kama vile amepigwa ngumi ya mgongo , jerry hakuwa na chochote cha kufikiria kwa wakati huo ziaidi ya kuyatafuna makalio ya mrembo huyo.
Mikono yake ilicheza cheza ikitamani kuigusa ngozi laini mithili ya sufi ya mwanamke huyo iliyokuwa na rangi ya maji ya kunde.
“jamani Honey njoo basi!”
Lisa aliongea kwa sauti hiyo ya kimahaba na kumfanya , Jerry azidi kupagawa kimahaba,
Achana na mashine yake ambayo ilikuwa imesimama wima kiasi cha kuongeza sentimita kadhaa za urefu wa suruali yake.
“Oh, Dear haraka basi!”
Lisa alitoa sauti hiyo mara baada ya mumewe kushika kiuno chake na kuanza kuzichezea shanga.
“uh!”
Lisa alishtuka mara baada ya jerry kumvutia kwake na wakawa zero distance, mapaja ya Lisa yalikuwa yakii gusa gusa mashine ya Jerry, japo ilikuwa ndani ya suluari lakini lisa alihisi ilivyokuwa ikihema na kufurukuta ili itoke nje ya kufuli.
“Ah, honey!”
 lisa alilalama mara baada ya jerry kuyashika makalio yake na kuanza kuyatomasa taratibu, midomo yao ilikuwa imeshaanza kunyonyana, macho yao yalifumba huku kila mtu akiyatomasa maungo ya mwenzake kwa ujuzi wake.
“ oh no, nazidi kuchelewa , tutakutana baadae honey!”
Aliongea Jerry ghafla na kujichoropoa toka mwilini mwa Lisa, mara baaaa a kuangalia saa iliokuwa kwenye dressing table.
“no, no, no ,no ,honey please you can’t do that to me please”
( Hapana , hapana, hapana, mpenzi huwezi kunifanyi hivyo mimi tafadhari )
  Aliongea Lisa kwa sauti ya kubembeleza, alikuwa tayari hata kumsujudia mumewe kwa wakati huo, lakini sio kumruhusu aondoke na kumuacha katika hali kama hiyo.
Lakini Jerry hakuwa mtu wa aina hiyo, ambaye anaweza kuhairisha kwenda kazini eti sababu ya mapenzi peke yake, huyu jamaa alikuwa ni mchapa kazi haswana mkewe alijua hilo, lakini ahsubuhi hii alikuwa anajaribu bahati yake. Labda leo angempa kipaumbele yeye badala ya kazi hata kwa mara moja.
“jamani , honey kidogo tu”
Alizidi kubembeleza Lisa , lakini kama kawaida ya jerry hakujali. Alitembea haraka mpaka ulipo mlango wa kutokea nje ya chumba hicho.
Alipofika mlangoni alisimama na kisha kubusu kiganja cha mkono wake.
“mwaa”
Alafu akampulizia mkewe.
“Good bye honey.” ( kwa heri mpenzi )
Kisha akatoka nje.
“Honey!!”
lisa alilalamika huku akihema, mapigo ya moyo yalikuwa yakimwenda kwa kasi, bado alikuwa na joto la mapenzi. Hakuamini kama kweli mumewe anamuacha katika hali kama ile.
Alisikia sauti ya mlango ukifungwa na baadae muungurumo wa gari , jambo liloashiria kwamba kweli mumumewe ameondoka.
ITAENDELEA…….



                                           MUUZA MAZIWA SE 1 EP 2

 

ILIPOISHIA…..
“jamani , honey kidogo tu”
Alizidi kubembeleza Lisa , lakini kama kawaida ya jerry hakujali. Alitembea haraka mpaka ulipo mlango wa kutokea nje ya chumba hicho.
Alipofika mlangoni alisimama na kisha kubusu kiganja cha mkono wake.
“mwaa”
Alafu akampulizia mkewe.
“Good bye honey.” ( kwaheri mpenzi )
Kisha akatoka nje.
“Honey!!”
lisa alilalamika huku akihema, mapigo ya moyo yalikuwa yakimwenda kwa kasi, bado alikuwa na joto la mapenzi. Hakuamini kama kweli mumewe anamuacha katika hali kama ile.
Alisikia sauti ya mlango ukifungwa na baadae muungurumo wa gari , jambo liloashiria kwamba kweli mumumewe ameondoka.

MUENDELEZO WAKE :
Lisa alijitupa kitandani huku akilia. Aliukumbatia mto huku bado akiwa uchi wa mnyama.
Makalio yake yalibenuka kiasi kwamba unaweza kukiona kitumbua chake kutokea mbali, kikiwa kimejijenga umbo zuri kama lile la Apple.
 Kama ukishuudia mwenyewe  jinsi kitumbua hicho kilivyonona huwezi kuamini kwamba kuna mwanaume aliye katika dunia hii ambaye anaweza kukurupuka na kuuacha utamu wote huo bila hata ya kuonja na kukimbilia kuushurutisha mwili wake.
Tako lote lile ,  chuchu zilizosimama na midomo laini yenye umbo la kumvuta mwanaume yoyote yule kuinyonya pamoja na umahiri wa lisa katika kuzungusha nyonga, lakini huyu mwanaume ameamua kuchagua kuyaacha machozi yabubujike katika mashavu ya mwanamke huyo  kwa kukataa kufanya nae mapenzi.
“ kwa nini umeamua kunifanyia hivi jerry?”
Lisa aliwaza huku bado akiwa amejikunyata pale kitandani.
“Yani ameshindwa hata kudanganya kwamba anaumwa?”
Alizidi kuwaza huku akijigaragaza kitandani.
Makalio yake alikuwa akiyapeleka juu na chini kama vilea anengua.
“ yani kweli umeamua kuniacha na baridi lote hii”
aizidi kuwaza, alijiona kama mfungwa,  kubaki peke yake kwenye nyumba yote hiyo tena ukizingatia hali ya utulivu iliyotana katika mtaa huo.
“MAZIWA! MAZIWA!”
Ilisikika sauti hiyo iiyounja ukimya wote uliouwa umetanda katika mtaa huo.
“fyonz”
Lisa alisonya, hakuaka kubugudhiwa na yoyote ahsubuhi hiyo, yale aliyofanyiwa na mumewe yalimtosha.
“MAZIWA! MAZIWA!”
Ilisikika tena suti hiyo iliyozidi kumfanya akereke .
“sijui nani akamnyamazishe huyu mwenda wazimu”
Aliwaza, alijua fika kwamba muuza maziwa hato acha kupiga kelele zake mpaka atakapo muona mtu ametoka na kumpa chombo cha kukingia maziwa.
“nazi chukia bili , sijui kwa nini ningekuwa nachukua mara moja moja.”
Aliwaza, lakini ni lazima ainuke la sivyo kero hii itadumu masikioni mwake.
Akawaza anainuka na kuichukua khanga yake pale chini ilipokuwa imeanguka na kutoka nje akiwa na hasira. Ile anafungua mlango tu muuza maziwa nae akaanza kuita.
“MAZI….”
Lisa alimkatiza kwa kumzabua kibao.
“Mshenzi kweli, wewe huwezi kuleta maziwa kimya kimya mpaka utupigie kelele!?”
Alifoka lisa, Muuza maziwa alikuwa ameinamisha kichwa chake chini akisikilizia maumivu ya kibao alichopigwa. Alipoinua kichwa chake aligongana na macho ya Lisa ambaye alikuwa akimwangalia kwa dharau huku akiibenua benua midomo yake.
“sikiliza wewe, yani ukisikia maziwa basi unafikiria maziwa peke yake , naweza kukupa mambo mpaka ukadata umeshawahi kshikwa chuchu na mkamua maziwa ?“
Aliongea Muuza maziwa huku akimkazia macho Lisa.
Kauli hiyo ilimfanya Lisa anyong’onyee, mikunjo yote aliyokuwa ameiweka kwenye sura yake ilipotea.
“samahani”
Aliongea kwa upole. Si kwamba alijiona mkosaji kwa kile alichokifanya ila toka muuza mziwa alipotoa kauli yake ya kukamua maziwa, kila kitu kilibadirika kwake ghafla alianza kuona hamu ya kafanya mapenzi ikimrudia tena huku mapigo yake ya moyo yakianza tena kudunda kwa kasi.
Kitu pekee alichokitaka kwa wakati huo ni kufanya mapenzi, haikujalisha na nani, iwe mumewe au mwanaume yoyote Yule. Nguvu zilianza kumwishia miguuni, akaanza kuichezesha chezesha kama mtu aliyebanwa na haja  ndogo.
“vipi, tena , unataka mambo nini mtoto?”
Muuza maziwa aliongea kauli hiyo baada ya kumuona jinsi anavyohangaika.
Lisa hakujibu kitu badala yake alimvuta muuza maziwa na kuanza kuibusu midomo yake.
Muuza maziwa naye akutaka kuonekana wa kuja hapo hapo nae akairuhusu mikono yake ianze kufanya ziara kwenye maungo ya Lisa,  kitendo kilichomfanyaLisa azidi kuchachawa kimahaba.
“Twende ndani basi”
Lisa aliongea kwa sauti nyororo yenye kutetema kimahaba, muuza maziwa hakukawia kufuata maelekezo akayaaacha maziwa yake pale nje na kumbeba Lisa juu juu.



                                           SIMULIZI……. MUUZA MAZIWA SE 1 EP 3

 


ILIPOISHIA…..
 “vipi, tena , unataka mambo nini mtoto?”
Muuza maziwa aliongea kauli hiyo baada ya kumuona jinsi anavyohangaika.
Lisa hakujibu kitu badala yake alimvuta muuza maziwa na kuanza kuibusu midomo yake.
Muuza maziwa naye akutaka kuonekana wa kuja hapo hapo nae akairuhusu mikono yake ianze kufanya ziara kwenye maungo ya Lisa,  kitendo kilichomfanyaLisa azidi kuchachawa kimahaba.
“Twende ndani basi”
Lisa aliongea kwa sauti nyororo yenye kutetema kimahaba, muuza maziwa hakukawia kufuata maelekezo akayaaacha maziwa yake pale nje na kumbeba Lisa juu juu.

MUENDELEZO WAKE ;

“Ni huku”
Lisa aliongea baada ya kuona Muuuza maziwa anaelekea chumba kingine, haraka muuza maziwa alielekea chumba alicho elekezwa., chumba anacho kilala na mumewe.
Muuza maziwa alimlaza lisa kitandani na kuendelea kumpapasa sehemu mbali mbali za maungo yake.
“Aaaa, assii, muuza maziwa!”
Lisa alilalama kimahaba pale muuza maziwa alipogusisha ulimi wake kwenye kitovu chake huku akiu chezesha chezesha kama vile analamba alamba.
“Aaaa, assii!”
Lisa alizidi kulalama huku akizivuta pumzi kwa kuhema, Muuza maziwa alizidi kumpasha na kumfanya  aanze kuhema nusunusu.
“Utani_uua wee muu…”
Lisa alijikuta anakatiza kauli yake hiyo sababu ya kupelekwa mputa mputa na manjonjo ya muuza maziwa.
“Anza basiiiii…”
“Usiwe na haraka kitu kitafika ukifika muda wake”
Aliongea muuza maziwa huku akizitomasa chuchu za Lisa  na kumfanya Lisa azidi kupagawa kiasi cha kupoteza network.
Mapenzi aliyopewa na muuza maziwa , hakuwahi kuyapata kamwe, alijiona kama vile yuko dunia ya kwanza hata mumewe  alikuwa cha mtoto kwa muziki wa muuza maziwa.
“Oh, honey anza basi sweety”
Aliongea Lisa kwa kumbembeleza muuza maziwa aanze kuzifakamia dhabibu kwa jinsi apendavyo. Muuza maziwa hakusita tena kwa wakati huo, tayari alikuwa amekwisha sarula viwalo vyake na kubaki mtupu kama ambavyo Lisa alikuwa, alimsogelea Lisa taratibu mithili ya simba anayemnyatia swala na kuanza kufakamia uroda kama vile samba aliyekosa nyama kwa kipindi kirefu.
“Auuh, Asii, Muuza maz….”
Lisa alilalama kimahaba kutokana na bakora kali alizokuwa akishushiwa na muuza maziwa.
“Auuh, Taratibu basiiiiii!”
Alizidi kulalama Lisa akiwa hoi kabisa kama mgonjwa aliyekuwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi.
“Ngo, ngo, ngo”
Lisa alisikia sauti hiyo ya mlango ukigongwa  na kujikuta anapatwa na mshituko mkubwa sana.
Akilini mwake alifikiria kwamba atakuwa mumewe ameamua kumuonea huruma nakurejea nyumbani ili ampatie mavituz ili kumlizisha .
Itakuwaje sasa na yeye yuko ndani akila mavituz na muuza maziwa tena kwenye chumba kile kile anacholala na mumewe?
Alijiuliza swali hilo moyoni mwake na kujikuta anaishiwa nguvu kabisa.
“Mungu wangu sijui nitafanya nini mimi!?”
Lisa alijiuliza akiwa amechanganyikiwa kabisa .
“ngo, ngo , ngo”
Ilisikika tena hodi ya mlango..
Lisa alipata mshituko usiokuwa wa kawaida , mapigo ya moyo wake yalidunda kwa kasi huku macho yakiwa yamemtoka mithili ya mjusi aliyebanwa na mlango.
Hamu yote ya kufanya mapenzi ilimwisha, alifikiria zaidi jinsi ya kukabiliana na aibu ya kufumaniwa na mumewe  akifanya mapenzi na muuza maziwa tena kwenye kitanda  wanacho lala pamoja.
“fyouz”
Alisonya na kuliachia tabasamu litawale kwenye uso wake baada ya kuzinduka kwenye mawazo.
Alicheka kwa furaha baada ya kugundua kwamba muuza maziwa hakuwa nae hapo kitandani wala chumbani humo.
Ni yeye peke yake alikuwa akijigaragaza kitandani huku akiwa ameukumbatia mto wake.
“Si bora ingekuwa kweli tu, ah”
Aliongea Lisa kwa kupaniki na kulaani mara baada ya kugundua kwamba manjonjo yote yale ya muuza maziwa kumbe yalikuwa ya kufikirika tu na sio kitu cha kweli.
“Ngo!, ngo!, Ngo!”
Sauti ya mlango kugongwa ilisikika tena na hapo ndipo Lisa alipokumbuka kwamba kuna mtu anagonga mlango.
“watu wengine bwana sijui vipi?,   kusumbuana tu hasubuhi yote hii”
Aliongea kwa kupaniki huku uso wake ukionyesha kuchukizwa kweli na kitendo hicho .
Alijisikia uvivu kuamka ndani na pia kuvaa nguo kwa ajili ya mtu ambae pengine angelimsumbua tu. Akaamua kujikausha asiitikiea hodi hiyo. Lakini jinsi mlango huo ulivyozidi kugongwa tena kwa fujo ulimfanya Lisa ashindwe kabisa kuvumilia hali hiyo.
“Nani wewe?”
Aliuliza kwa hasira.
“Ni mimi muuza maziwa, vipi leo hauchukui maziwa?”
Mtu aliyekuwa akibisha hodi alijitambulisha na kumuuliza swali Lisa.
Kitendo cha Lisa kusikia neno muuza maziwa kiliyafanya mapigo ya moyo wake yabadilike na kuanza kudunda kwa kasi tena.

JE LISA ATAFANYA KWELI YALE ALIYOKUWA ANAYAWAZA ……..?

ITAENDELEA…….

                                           MUUZA MAZIWA SE 1 EP 4 

ILIPOISHIA…..
Alicheka kwa furaha baada ya kugundua kwamba muuza maziwa hakuwa nae hapo kitandani wala chumbani humo.
Ni yeye peke yake alikuwa akijigaragaza kitandani huku akiwa ameukumbatia mto wake.
“Si bora ingekuwa kweli tu, ah”
Aliongea Lisa kwa kupaniki na kulaani mara baada ya kugundua kwamba manjonjo yote yale ya muuza maziwa kumbe yalikuwa ya kufikirika tu na sio kitu cha kweli.
“Ngo!, ngo!, Ngo!”
Sauti ya mlango kugongwa ilisikika tena na hapo ndipo Lisa alipokumbuka kwamba kuna mtu anagonga mlango.
“watu wengine bwana sijui vipi?,   kusumbuana tu hasubuhi yote hii”
Aliongea kwa kupaniki huku uso wake ukionyesha kuchukizwa kweli na kitendo hicho .
Alijisikia uvivu kuamka ndani na pia kuvaa nguo kwa ajili ya mtu ambae pengine angelimsumbua tu. Akaamua kujikausha asiitikiea hodi hiyo. Lakini jinsi mlango huo ulivyozidi kugongwa tena kwa fujo ulimfanya Lisa ashindwe kabisa kuvumilia hali hiyo.
“Nani wewe?”
Aliuliza kwa hasira.
“Ni mimi muuza maziwa, vipi leo hauchukui maziwa?”
Mtu aliyekuwa akibisha hodi alijitambulisha na kumuuliza swali Lisa.
Kitendo cha Lisa kusikia neno muuza maziwa kiliyafanya mapigo ya moyo wake yabadilike na kuanza kudunda kwa kasi tena.
MUENDELEZO WAKE :
Mambo yote aliyokuwa akiyafikiria dakika chache zilizopita kuhusu muuza maziwa yalijirudia tena kichwani mwake, na kuushuudia mshawasha ukimpanda tena kwa kasi ya ajabu nukta chache toka hapo Lisa alikuwa hajiwezi kabisa.
Alikuwa mahututi kiasi kwamba kama asingelimpata daktari bingwa basi tiba kwake ingelikuwa ni ndoto.
“Eti dada hauchukui maziwa niondoke?”
Muuza maziwa akamua kuuliza tena swali lake baada ya kuona muda unapita hajibiwi chochote.

 “Subiri nakuja!”
Lisa aliitikia haraka haraka
“haraka basi”
Muuza maziwa aliongea
Kwa kujivuta Lisa aliutupa mto aliokuwa ameukumbatia pembeni na kisha akachukua khanga na kujifunga.
“nitamnasa tu!”
Aliwaza Lisa huku akielekea nje ya chumba hicho , alipofika kwenye mlango wa kutokea nje aliufungua huku uso wake ukiwa umetawaliwa na tabasamu.
“karibu!”
Lisa aliongea kwa sauti laini na nyororo yenye uwezo wa kumtoa nyoka pangoni.
“asante , mh , nimekusubiri sana ujue?“
Muuza maziwa aliongea
“Oh pole sana lakini usijali”
aliongeaLisa kwa sauti ileile ya kimitego  huku macho yake akiyarembua.
“ishapoa, nipatie chombo basi nikupimie maziwa basi”
Aliongea muuza maziwa huku akimwangalia Lisa kwa jicho la wizi .macho yake yalishindwa kukwepa kuangalia uzuri alikuwa nao Lisa , hasa kwa pigo lake la khanga moja ndio lilizidi kumaliza muuza maziwa.
“njoo ndani basi unipimie”
Lisa aliongea na kisha kutangulia kuingia ndani, muuza maziwa nae alifuata nyuma na maziwa yake.
“funga mlango!”
Lisa aliongea na kisha muuza maziwa alifunga.
Kwa jinsi Lisa alivyokuwa akitembea basi ndio alikuwa akipoteza kabisa network za muuza maziwa.
Makalio ya Lisa yalikuwa yakitisika  kila alipokuwa akipiga hatua, Muuuza maziwa alijikuta anatokwa na udenda , Lisa akageuka nyuma ghafla na kumfumania muuza maziwa akiwa ameduwaa kuyaangalia makalio yake, akatabasamu  akijua tayari samaki ameingia kwenye  wavu, hapo hapo akaitegua khanga aliyokuwa ameivaa na kubaki mtupu kabisa.
Muuza maziwa alitoa macho na kujikuta anadondosha maziwa yake chini na kujishika kichwa kwa mikono yake yote miwili.
Chupa ya maziwa ilipasuka na maziwa yakamwagika lakini muuza maziwa hakujali.
“Ahayaaaaa!!!!!!”
Muuza maziwa aliongea kwa kuropoka huku akiwa ameuacha mdomo wake wazi akistaajabu kwa kile alichokiona.
Kilichomshangaza zaidi muuza maziwa ni badala ya Lisa kuokota khanga yake na kujistili, alianza kupiga hatua za taratibu akimsogelea huku macho yake yakiwa yamelegea kabisa.
“Mwaaa!”
Lisa akambusu muuza maziwa shavuni, busu lililomfanya muuza maziwa asisimke mwili mzima na dakika hiyo hiyo mashine yake ilisimama tayari kwa kutandika  bakora.
Kwa ujasili Muuza maziwa aliunyanyua mkono wake mpaka kwenye shingo ya lisa , ambapo aliuterezesha mkono huo moja kwa moja mpaka kwenye chuchu na kuanza kuzibofya taratibu.
“Asssii!”
Lisa alilalama pale Muuza maziwa alipozitomasa chuchu zake, huku mkono wake mwingine akiushusha mpaka kiunoni na kuanza kuchezea shanga moja baada ya nyingine.
“Aauuuu!!!!”

Lisa alilalamika pale muuza maziwa alipombusu kama mfaransa yaani ulimi wake kwenye sikio lake.
Na huo ulikuwa mwanzo tu wa vimbweka vya muuza maziwa. Lisa  alishakuwa hoi alishindwa hata kusimama vizuri , Muuza maziwa aliligundua hilo akambeba juu hadi sofani., na huku ndiko alikoanza upya manjonjo yake.
Alianza kunyonya chuchu za Lisa kwa mdomo wake na taratibu alianza kushusha ulimi wake huku akiuchezesha chezesha kama wa nyoka na kuushusha mpaka sehemu za kitovu.
“Assiii!!, we muu….”
Lisa alizidi kulalama kwa hisia huku mwili wake wote ukisisimka .
Muuza maziwa hakuishia hapo alizidi kuushusha ulimi wake mpaka kunako chumvini na bila kusita aliifakamia chumvi hiyo.
“Assii, ahh sisss!”
Lisa alizidi kulalama huku network yake ikiwa imekata kabisa msisimko wa kweli ulikuwa umemtanda pale muuza maziwa alipokuwa amemkazia  kama vile amempania.
“sibakishi kitu leo na hakikisha patupu”
Aliwaza muuza maziwa akwa ameshikilia mapaja ya Lisa yaliyokuwa yame jaa jaa kiuakika

Nusu saa ilikwisha katika Muuza maziwa  bado alikua ajachoma sindano kwa mgonjwa wake
“aanz-a , basiii, muuu_za ma….!!”.
Lisa aliongea kwa kigugumizi  huku akisisimka kwa manjonjo ya muuza maziwa , aliona muuza maziwa anachelewa kuanza dozi ,
 Muuza maziwa hakutaka kuipoteza nukta nyingine tena akaanza kusalula viwalo vyake kwa haraka kama vile anakimbizwa. Kila kitu alitupia kwake , shati huku suruali kule, alibaki na kufuli alipotaka kulitoa tu Lisa alimzuia kwa ishara , Muuza maziwa hakupinga akamuacha afanye atakacho.
Kwa mkono wake Lisa alishusha kufuli hilo taratibu , alipolifikisha magotini akaachana nalo na kuanza kuifakamia koni.
Muuza maziwa alikuwa kama mwendawazimu kwa hisia pale Lisa alipokuwa akinyonya koni na kuinyonya kwa ufundi wa haina yake mithili ya alamba alamba.
“Aaahhh, ahh!”
Muuza maziwa alilalamika huku Lisa akiliendeleza zoezi lake la kulamba koni, network za Muuza maziwa zilizidi kupotea huku mwili wake ukiwa na msisimko wa aina yake. Alizishikilia nywele za Lisa huku mguu wake mmoja akiwa ameuweka Sofani.
“Ouh!, ouuh, ouuh!”
Muuza maziwa alizidi kulalama huku Lisa bado akiwa ameikazania koni.


ITAENDELEA…….


                                            MUUZA MAZIWASE 1 EP 5

 

ILIPOISHIA…..
Kwa mkono wake Lisa alishusha kufuli hilo taratibu , alipolifikisha magotini akaachana nalo na kuanza kuifakamia koni.
Muuza maziwa alikuwa kama mwendawazimu kwa hisia pale Lisa alipokuwa akinyonya koni na kuinyonya kwa ufundi wa haina yake mithili ya alamba alamba.
“Aaahhh, ahh!”
Muuza maziwa alilalamika huku Lisa akiliendeleza zoezi lake la kulamba koni, network za Muuza maziwa zilizidi kupotea huku mwili wake ukiwa na msisimko wa aina yake. Alizishikilia nywele za Lisa huku mguu wake mmoja akiwa ameuweka Sofani.

MUENDELEZO WAKE :
“Ouh!, ouuh, ouuh!”
Muuza maziwa alizidi kulalama huku Lisa bado akiwa ameikazania koni.

Kwa ghafla Lisa alikatiza zoezi hilo la kulamba koni na kumsukumiza  Muuza maziwa kwenye sofa, Muuza maziwa hakuelewa kwanini Lisa amefanya hivyo, akabaki pale sofani ameduwaa asijue nini cha kufanya , alimwangalia Lisa ambae hakufanya kitu wala kuongea chochote kwa sekunde kadhaa zaidi ya kumwangalia Muuuza maziwa na kuhema kwa nguvu kama vile mtu aliyeshtushwa na jambo Fulani.
Muuza maziwa alitaka kuinuka pale sofani lakini Lisa alimsukumiza tena palepale , hakuelewa kwanini Lisa anafanya hivyo , alibaki katika hali ileile ya kuduwaaa na kuamua kuwa mpole ili ajue nini kinachofuata..
Lisa akiwa katika hali ileile ya kuhema  alimsogelea muuza maziwa taratibu na kumpanda juu yakena kuanza kujichoma sindano taratibu.
“Asiiii”
Lisa alilalama pale sindano ilipoingia sawasawa  taratibu kwa mwendo wa kinyonga akaanza kujipampu ili kuifanya sindano itoe dawa.
“asiiii, auh, aauuh!!!”
Lisa alizidi kulalama huku akiendelea kusimika mzizi huku akizungusha kiuna tarattibu . Muuza maziwa  alishika kiuno chalisa na kuzichezea shanga huku akijaribu kujiinua kumfuatiza Lisa alivyokuwa akijipampu.
Asiiii”
Lisa alilalama pale muuza maziwa alipomgandamiza ili kuifanya sindano iingie sawia, taratibu ailianza kupekecha huku bado muuza maziwa akiwa amemshikilia kiuno.
Dakika kumi na tano zilipita huku bado wakiwa katika staili ileile, Muuza maziwa alikwaisha ichoka nae akaamua kuonyesha maajabu yake.
Akamnyanyua Lisa na kumgeuza kimbuzi kagoma na hapo ndipo moto ulipowaka.
“Auuh, taratibu, muu-za ma……..”
Lisa alitoa ukulele huo huku muuza maziwa akiendeleza bakora zake kwa spidi zote.
“muu-za ma…., naku-pen-da, mu-uu-za…”
Lisa alizidi kulalama huku muuza maziwa akiendelea kutoa dozi nzito.
“siachi kitu leo patakuwa patupu!”
Aliwaza muuza maziwa huku akizidi kuichochea dozi yake na kumfanya Lisa apoteze network kabisa.
“asiii, aiiii!!”
Lisa alizidi kutoa ukulele  wa mahaba huku akiwa hoi kweli kweli , Muuza maziwa alikuwa anampatia dozi ya uhakika mpaka kumfanya aheme nusunusu.
“Ash, ouh, asiiii!!!!”
Lisa alizidi kulalama hoi hoi kwa mikuno hiyo ya uhakika toka kwa muuza maziwa.
Ilikuwa ni dozi ya uhakika na ya aina yake Lisa hakuwahi kuipata mikuno kama hiyo kabla, hali iliyomfanya azidi kuchachawa  na kubwata kama vile mwendawazimu.
“Geuka hivi”
Muuza maziwa aliongea na lisa bila kusita alifanya kama alivyoelekezwa. Kasha muuza maziwa alimsogelea na kuanza vitu vyake.
Staili ya sasa ilikuwa ya kifo cha mende, ilikuwa sio staili mpya  kwa Lisa lakini kwa jinsi muuza maziwa alivyoipatia ilikuwa kama vile mpya machoni pake.
“Asiii! Auuh Asiii muuu……”
Lisa aliongea huku akishindwa hata kumalizia kauli yake kwa  jinsi alivyonogewa na uroda.
Muda wake wa  kuzitikisa nyavu ulifika, Lisa alimkumbatia muuza maziwa kwa nguvu huku miguu yake akiwa amembana kiuno muuza maziwa kwa nguvu.
“Nakupenda , nakupenda muuuza maziwa nakupe…..aahh”
Lisa aliongea maneno hayo mfululizo huku bado akiwa amemkumbatia Muuuza maziwa kwa nguvu zake zote huku mwili wake wote ukisisimka.
“nakupenda muuza maziwa nakupenda sana”
Alizidi kuongea
Muuza maziwa hakujibu kitu zaidi ya kuendeleza makamuzi yake tu kwa upande wake nae mambo yalikwishaanza kunukia.
“kata kiuno “
Muuza maziwa aliongea
Lisa bila kuchelewa alianza kukata kiuno,  hapo ndipo  muuza maziwa nae alianza kulalama kama mwenda wazimu.
“hapo hapo safi sana endelea ahh endele….”
Muuza maziwa alijikuta anashindwa hata kumalizia kauli yake sababu ya msisimko wa aina yake aliokuwa akiupata..
Lisa nae alizidi kuyakata mauno na kumfanya muuza maziwa azidi kupagawa kabisa.
“yeahbaibe yes, ilove you!”
Muuza maziwa alijikuta anaongea kingereza chake cha kuokoteza huku macho yakiwa yamemtoka kwa msisimko.
Mpira ulishaanza kuingia gorini kilichobaki kwake ilikuwa ni kushangilia tu.


ITAENDELEA…….


                                         MUUZA MAZIWA SE 1 EP 6 

ILIPOISHIA…..

“kata kiuno “
Muuza maziwa aliongea
Lisa bila kuchelewa alianza kukata kiuno,  hapo ndipo  muuza maziwa nae alianza kulalama kama mwenda wazimu.
“hapo hapo safi sana endelea ahh endele….”
Muuza maziwa alijikuta anashindwa hata kumalizia kauli yake sababu ya msisimko wa aina yake aliokuwa akiupata..
Lisa nae alizidi kuyakata mauno na kumfanya muuza maziwa azidi kupagawa kabisa.
“yeah baibe yes, ilove you!”
Muuza maziwa alijikuta anaongea kingereza chake cha kuokoteza huku macho yakiwa yamemtoka kwa msisimko.
Mpira ulishaanza kuingia gorini kilichobaki kwake ilikuwa ni kushangilia tu.

MUENDELEZO WAKE :

 Lisa alishaanza kuhisi kwamba dawainatoka kwa ghaflaakaichomoa sindano.
“kudaleki!!”
Muuza maziwa aliongea kwa kupani mara baada ya kuona kama vile amekatishwa uhondo, lakini lisa hakumtupa, akaanza kuisugua koni kwa mikono yake huku akiilamba.
“ouuh, aah”
Muuza maziwa alianza tena kulalama baada ya kuona mambo yamekuwa mazuri tena.
Haikupita hata sekunde kumi na nane muuza maziwa alijikuta anatikisa nyavu huku Lisa akiendelea kumsugua sugua hali iliyomfanya muuza maziwa ajisikie raha moja ya ajabu.
“auuh, auuh, aaahh”
Muuza maziwa alijikuta anatoa ukulele huo huku network zake zikiwa hazisomi kabisa.
“uuhhhh!”
Muuza maziwa alishusha pumzi kwa nguvu baada ya shughuli hiyo nzito.
“Uuuuuhh”
Lisa nae alihema.
Kila mmoja alimwangalia  mwenzake hakuna aliyekuwa na la kusema, wote wawili waliishia kutabasamu tu na sekunde chache baadae waliamua kukumbatiana.
Chuchu za Lisa ziligusa kifua cha muuza maziwa na kumtekenyatekenya pale Lisa alipotingishika, Muuza maziwa alijisikia raha kutekenywa tekenywa na chuchu hizo.


“Mwaaa!”
Lisa alimbusu muuza maziwa
“Mwaaa!”
Muuza maziwa nae alirudishia busu hilo..
Alianza kumuangalia Lisa kwa mara mbili zaidi , sura yake umbo lake na hata uzuri wa rangi yake vyote hivi vilimfany a muuza maziwa ajione mwenye bahati kubwa sana kuweza kufanya mapenzi na msichana mrembo kama Lisa.
Alipofikiria swala hilo kwa mara aliona raundi hiyo moja haimtoshi, tama ilimwingia upya akataka mchezo urudiwe upya
“Mwizi hapangiwi cha kuiba hapa ni kufagia tu , nitaikuta wapi bahati kama hii tena?”
Muuza maziwa aliwaza na dakika hiyo hiyo alipiga kipyenga ili mechi ianze kwa raundi nyingine.
“mmmh, muuza maziwa bwana “
Lisa aliongea kwa sauti nyororo pale muuza maziwa alipoanza tena kuzitomasa chuchu zake .
Muuza maziwa taratibu akaanza kuibusu shingo shingo la lisa  na kumfanya apate msisimko wa aina yake.
“aauh, muuza maziwaaa”
Lisa aliongea kwa sauti ya kimahaba  pale Muuuza maziwa alipoupitisha ulimi wake katikati ya matiti yake huku akiuchezeshachezesha mithili ya nyoka mtema sumu, Lisa alijibenua na kuyafanya  kifua chake kisogee mbele , muuza maziwa akiwa amemshikilia kiuno ili asianguke huku akiendelea kuuchezesha ulimi wake.
“Asssiiiiii, auuuh”
Lisa alilalama huku muuza maziwa akiendelea kuyapekecha mambo. Safari hii alikuwa amepania kwelikweli kwani mwendo alioenda nao si wa kitoto.
“Auuh muuuz…………”
Lisa alijikuta anakatiza kauli yakepale muuza maziwa alipomshika kiuno, alijisikia msisimko wa aina yake, muuza maziwa alimsogelea kwa ukaribu zaidi akushika mguu wa Lisa sehemu ya paja na kisha kuuinua kitendo kilichomfanya Lisa ayumbe sababu ya kusimamia mguu mmoja.
Auuh!”
Lisa alilalamika akidhani anadondoka lakini wapi , muuza maziwa alikuwa amemshikilia kisawasawa. Mkono mmoja kiunoni na mwingine akiwa ameushikilia mguu.. Taratibu akaanza kuchoma sindano.
“ssiiiiiii!!!”
Lisaalilalama kwa hisia pale sindano ilipoku inaingia taratibu.
“Aaaa, asiiii auhhh”
Lisa alizidi kulalama pale muuza maziwa alipoianza kazitaratibu kwa mwendo wa kinyonga , safari hii hakuzitaka papara.
“unaipenda hii?”
Muuza maziwa aliuliza
“Yeah baby boy , I like that”
(ndio mpenzi naipenda)
Lisa aliongea kwa lugha ya kiiingereza na kusahau kabisa kwamba muuza maziwa hawezi kuzungumza lugha hiyo.  Yote hiyo sababu ya network kuipoteza, hakuwepo tena kwenye ulimwengu wa kawida , alihisi yuko kwenye ulimwengu wa pekeyake, na yeye ndio malkia wa ulimwengu huo mfalme wake ni muuza maziwa.
“Assssiii, auuuhh , assiiiiii”
Lisa alizidi kulalama huku moto wa muuuza  maziwa  ukizidi kuwaka tu.
Safari hii alikuwa akisimamia  vidole akiendelea kushusha dozi yake ambayo ilikuwa plasi plasi.
Hakuona inatosha akaamua kuunyanyua na mguuu mwingine wa lisa aliokuwa anasimamia .
Auuuuu!!”
Lisa alishtuka kidogo na kuhisi kudondoka, akatabasamu kuona mambo yanaedelea sawa .
Dozi iliendelea huku muuza maziwa akiwa amembeba Lisa juujuu.
Lisa nae akaizungusha miguu yake kwenye kiuno cha Muuuza maziwa ili ajisikize vizuri.
Muuza maziwa akiwa bado ameyashikilia mapaja ya Lisa , Lisa akaanza kukata kiuno taratibu na kumfanya muuza maziwa ayaone mambo ni mambo kweli kweli.. Muuuza maziwa akayaachia mapaja ya Lisa na kumkamata kiuno kilichokuwa kikizunguka taratibu utafikiri kimefungwa mota.muuuza maziwa alianza kuzichezea shanga zilizokuwa zimejaa kwenye kiuno cha Lisa.
             ITAENDELEA…….

                                        

 

 

 

 

                                     MUUZA MAZIWA SE 1 EP 7 


                         WATSAPP ME ON +255 715 55 71 91
ILIPOISHIA…..
“Assssiii, auuuhh , assiiiiii”
Lisa alizidi kulalama huku moto wa muuuza  maziwa  ukizidi kuwaka tu.
Safari hii alikuwa akisimamia  vidole akiendelea kushusha dozi yake ambayo ilikuwa plasi plasi.
Hakuona inatosha akaamua kuunyanyua na mguuu mwingine wa lisa aliokuwa anasimamia .
Auuuuu!!”
Lisa alishtuka kidogo na kuhisi kudondoka, akatabasamu kuona mambo yanaedelea sawa .
Dozi iliendelea huku muuza maziwa akiwa amembeba Lisa juujuu.
Lisa nae akaizungusha miguu yake kwenye kiuno cha Muuuza maziwa ili ajisikize vizuri.
Muuza maziwa akiwa bado ameyashikilia mapaja ya Lisa , Lisa akaanza kukata kiuno taratibu na kumfanya muuza maziwa ayaone mambo ni mambo kwelikweli.. Muuuza maziwa akayaachia mapaja ya Lisa na kumkamata kiuno kilichokuwa kikizunguka taratibu utafikiri kimefungwa mota.muuuza maziwa alianza kuzichezea shanga zilizokuwa zimejaa kwenye kiuno cha Lisa.
              ***

MUENDELEZO WAKE :
 Jerry aliiingia kazini kwake hasubuhi hiyo akiwa hana raha kabisa.aliifikiria hali aliyomuacha nayo mkewe asubuhi hiyo., hakuwa na raha kabisa, Jerry alilijua hilo lakini kazi aliiiona zaidi kuliko kumfariji mkewe.
“Kazi ndio inaniweka mjini, kazi kwanza alafu mapenzi baadae”
Aliwaza Jerry akijaribu kuyapuuzia mawazo ambayo yalikuwa yamemsonga juu ya mkewe.
Alikuwa akijikaza tu lakini ukweli ni kwamba hata nafsi yake ilimsuta. Nae alitamani kuwa na mkewe kwa wakati huo.

Kichwani mwake bado ilikuwepo picha ya mkewe alipokuwa  alipokuwa mtupu  akimtaka wafanye mapenzi hasubuhi ya siku hiyo alipokuwa nyumbani.
Aliyaona mapaja yake ya rangi maji ya kunde yaliyokuwa yamejaajaa na kuno chake kilchokuwa kimejaa shanga tupu huku kifua chake kikiwa kimesimama mithili ya kifuu cha nazi.
Jerry alijikuta anadondosha udenda huku fimbo yake ikiwa imesimama kwelikweli., kichwani mwake hakuna picha illiyoonekana zaidi ya mkewe.
Kila alipojaribu kushika faili ili aanze kazi alijikuta anashindwa kabisa, network zake zilikuwa hazisomeki kabisa.
“si bora ningebaki nyumbani tu, ah”
Alijisemesha Jerry kwa kupaniki baada ya kuona mambo yameanza kumshinda humo ofisini.
Haikuwa kazi tena kwa wakati huo bali ilikuwa adhabu, kila alipojaribu kufanya kazi aliona anapata mateso tu.
Alichptamani kwa sasa ni kuwa nyumbani na mkewe watulie wapate mavituzi yao.
“ngoja nirudi nyumbani tu hakuna jinsi”.
Aliwaza Jerry na dakika hiyo hiyo aliamka na kwenye kiti chake chake cha  kuizunguka na kasha kuchukua koti lake la suti alilokuwa amelitundika kwenye henga na kasha kulivaa, simu iliyokuwa mezani aliichukua na kuiweka ndani ya mfuko wa suluari yake , alijitengeneza vizuri suluari yake kasha kutoka nje ya ofisi yake haraka.


Aliufungua mlango na kuingia chumba cha Sekritari bila hata ya kubisha hodi. Alishtuka baaada ya kuingia ndani ya chumba hicho, kitu alichokiona mbele ya macho yake hakukitegemea kabisa, ilikuwa ni kama vile ndoto ya mchana.
Sekritari wake alikuwa amekaaa juu ya meza akiwa ameyafumba macho yake kwa hisia , mkono  wake mmoja  akiwa ameupeleka mpaka kunako za siri huku mwingine ukiwa kwenye matiti yake akijaribu kuyaminya minya huku ule alioupeleka ikulu akiuchezesha chezesha na kutoa kilio cha kimahaba.
“Assiiii, aiiii, asssiiiiii!!!!”
Sekritari huyo alitoa kelele hizo za kimahaba huku akiendelea kujichua taratibu.
Hali ilianza kuwa mbaya kwa Jerry ambae bado alikuwa ameduwaa akimshangaaa Sekritari wake.
Alihisi kama mate yanamtoka paleSekritari huyo ambae alikuwa nusu uchi kwa sketi yake alivyokuwa imepanda juu na kuacha sehemu zote za mapaja wazi  huku vifungo vya shti  vikiwa wazi na kuacha sehemu zote za matiti kuwa wazi kabisa.
Fimbo ya Jerryilikuwa imesimama kwelikweli  na kuifanya suluari yake iongezeke urefu wa sentimita kadhaa kwenda mbele.
“Ahh, Bosi!!!!”
Sekritari aliongea kwa mshtuko baaada ya kufungua macho yake na kumuona Jerry mbele yake . Hakuamini kabisa, mapigo yake ya moyo yalidunda kwa kasi huku hofu ikiwa imemwingia kwa ghafla akiamini kwamba leo angefukuzwa kazi na bosi wake kwa mambo hayo aliyoyafanya mbele yake.
“Bosi naomba unisamehe tafadhari , sina pa kukimbilia ukinifukuza kazi”
Aliongea sekritari huyo huku akitetemeka mwili mzima kwa woga kwani alijua sasa anaweza kuipoteza kazi yake wakati ndicho kitu pekee anachokitegemea katika maisha yake. Bila kujua kwamba mtu anaemnyenyekea na kumuomba msamaha yuko hoi kwa hamu ya penzi lake. Kabla  ya kuongea jambo lolote Jerry alisogea mpaka pale sekritari wake alipokuwa amesimama , alimkazia macho sekritari huyo aliona aibu na kuinamisha macho yake chini.. Jerry aliendelea kumuangalia na kumsaminisha na kugundua kwamba kumbe sekritari huyo ni kifaa haswa , akatabasamu huku akiendelea kumuangalia sekritatri huyo kwa mara mbili zaidi.
“wewe ni mzuri Diana!”
Aliongea Jerry huku akitabasamu kauli ambayo sekritari hakuitegemea kabisa , kwani alichokifikiria ni kwamba Jerry angelimfokea na baadae kumfukuza kazilakini badala yake anamsifia kwamba ni mzuri, alijisikia furaha moyoni akainua kichwa chke na kumtazama Jerry huku akiwa ametabasamu ambapo tabasamu lake liligongana natabasamu la jerry.
Jerrry akaamua kuishika mikono yake na kuanza kuichezea.
“mh, mh, mh”
Diana alijichekesha kwa kuguna.
Jerry alimsogelea na kumbusu.
“mwaa!!”

 unaweza kuupata mwendelezo wa simulizi hii kwa kununua episodi moja kwa sh 100 katika email yako, inbox ya fb au whatsap , malipo unafanya kwa njia ya mpesa, tigo pesa au air tel money.
  Namba zinazotumika kwa ajili ya malipo ni mpesa 0757 414 436 , tigo pesa 0715 557 191 airtel money 0789 117 674
 Namba zote zimesajiliwa kwa jina la Deogratius Lwasye 
                

ITAENDELEA…….

      

1 comment:

  1. 🌹 Ushuhuda Wangu Kuhusu Dkt. Dawn – Mtu Aliyerejesha Nyumba Yangu na Furaha Yangu

    Nataka kushiriki ushuhuda wangu wa dhati kuhusu jinsi Dkt. Dawn alivyobadilisha maisha yangu kabisa.

    Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na alikuwa ameenda kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.

    Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwangu — na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.

    Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.

    Lakini si hayo tu — Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyokuwa ikizunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.

    Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote — huzuni, bahati mbaya, au mkanganyiko — usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.

    Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete